Mzigo mpya.......soon

wateja wangu wangu wamekuwa wakiniuliza mzigo mpya narusha lini humu, maana sio kawaida yangu kula pozi kali namna , hii,

Well get ready, wiki ijao yote ni wiki la viwalo, nguo zitarushwa humu mpaka ushindwe wewe

kaa mkao wa kuvaa bila kikomo....................

No comments: